Samail College of Technology and Industry

TANGAZO LA MAHAFALI YA TATU

Chuo kinawatangazia wanafunzi wote kwamba mahafali ya tatu ya Chuo yatafanyika tarehe:

20
Tarehe ya MahafaliSEPTEMBER 2026
  • Wanafunzi wote wa diploma na cheti wanatakiwa kukamilisha zoezi la clearance ili waweze kugraduate.
  • Gharama za graduation ni TSH 35,000/=, inayojumuisha mchango wa graduation pamoja na cheti cha kumalizia masomo.
  • Wanafunzi wa diploma watalazimika kulipia TSH 10,000 ya ziada kwa ajili ya kupatiwa LEAVING CERTIFICATE MAALUMU.
Diploma na ChetiTSH 35,000/=Graduation na cheti cha kumalizia masomo
Diploma Pekee — ZiadaTSH 10,000Leaving Certificate Maalumu